𝔖 Scriptorium
✦   LIBER   ✦

πŸ“

Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary

✍ Scribed by Mulokozi M.M.


Leaves
349
Category
Library

⬇  Acquire This Volume

No coin nor oath required. For personal study only.

✦ Synopsis


Publisher: Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Publication date: 2001
Number of pages: 349

Kamusi hii ya Kiswahili-Kiingereza ina historia ndefu. Wazo la kutunga kamusi hii ilianzishwa mwaka 1964 na Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili (ambacho kuanzia mwaka 1972 kilijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili). Wazo hili lilibuniwa wakati wa enzi ya Profesa Wilfred H.Whitely, ambaye wakati huo alikuwa ndiye Mkurugenzi wa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili, ikiwa ni miaka 25 baada ya kuchapishwa kwa kamusi ya Johnson ijulikanayo kama Standard Swahili-English Dictionary (1939). Kazi ya utunzi wa kamusi mpya ilianza baada ya shirika lijulikanalo kama Calouste Gulbenkian Foundation kutoa msaada wa pesa kwa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 1964 hadi Octoba 1967 ili kukiwezesha chuo kumwajiri mchunguzi atakayeweza kuifanya kazi hiyo.

✦ Subjects


Π―Π·Ρ‹ΠΊΠΈ ΠΈ языкознаниС;АфриканскиС языки;Π‘ΡƒΠ°Ρ…ΠΈΠ»ΠΈ


πŸ“œ SIMILAR VOLUMES


Swahili Dictionary and Phrasebook: Swahi
✍ Nicholas Awde πŸ“‚ Library πŸ“… 2002 πŸ› Hippocrene Books 🌐 English, Swahili

<P>This essential language guide presents the traveler with the vocabulary and phrases necessary to communicate in Swahili, the most widely spoken African language. The two-way dictionary has over 5,000 total entries; the phrasebook contains terms and phrases for travel and daily life situations, a

English-Swahili Swahili-English Immersiv
✍ FidΓ¨le Mpiranya πŸ“‚ Library πŸ“… 2023 πŸ› Routledge 🌐 English

Organized in an English-Swahili section and a Swahili-English section, English-Swahili Swahili-English Immersive Dictionary is a comprehensive presentation of Swahili usual lexicon. In both sections, entries are presented in clusters, based on the connections between the words of the target langu